Namna ya kupata watazamaji wengi kwenye blog yako bila kulipia shilingi
yeyote.
Kutengezeza blog ni
kazi rahisi sana ila kazi ipo kupata watazamaji. Wote tunajua bila
watazamaji hakuna maana ya kutengeneza blog. Unapoteneza blog unatakiwa ujue
mbinu utakazotumia kupata watazamaji.
Zifuatazo ni njia au mbinu zitakazokusaidia kupata
watazamaji wengi kwenye blog yako tena bila kulipa chochote.
1. Guest blogging hiki ni kitendo cha kuchangia
mada mbalimbali kwenye mitandao ya
wenzio halafu unaacha link yako kwenye maandishi yako. Unaweza weka link kwenye
neon au sentensi nzima ili msomaji akisoma atavutiwa kubonyeza link uliyoweka.
Angalia mfano kwenye ayah ii neon mbalimbali lina link ndani yake kwahiyo
ukiclick to utapelekwa kwenye mtandao wa mwandishi wa mada hii. Angalizo
usiache link nyingi sana hasa ukiandika mfano www.chatguest.com
link kama hii watu wengi wenye mitandao hawapendi kwani inajionesha dhahiri
lengo ni kuitangaza blog yako. Tumia mbinu ya hyperlink kwenye mfano wa neno mbalimbali
2. Comments: wengi tunajua maana ya comment hii ni
njia ya kuacha mtazamo wako kwenye blog post yeyote mfano baada ya kusoma
makala hii unaweza amua kuacha comment yako jinsi ulivyochukulia au kuielewa
mada hii kwahiyo ukisha andika maoni yako unajisajiri kwenye sehemu ya jina
yani NAME na sehemu ya Url unaweka link ya blog yako na mwisho unasubmit.
3. Traffic exchanges: hizi ni njia za kupata watazamaji
wengi kutoka sahemu mbalimbali utakachofanya ni kujisajiri na kuanza kubonyeza
matangazo kadili unavyobonyeza matangazo mengi kwenye traffic exchange husika
ndivyo utakavyoletewa watazamaji wengi zaidi huduma hii ni bure japo unaweza
amua kujiunga kwenye pro services ambazo
hutatumia muda mwingi kutazama matangazo ya watu na bado utaletewa watazamaji
wengi tu. Onyo usitumie njia hii ukiwa umeweka google adsense kwenye blog yako.
Your Google adsense will be banned very soon. So don’t use traffic exchanges as source of getting traffic
but use other methods as google adsense policies requires you to do.
4. Quality blog posts. Hii ni njia ya kujiweka
kwenye ngazi ya juu kwenye search engines mfano google. Andika post yenye tag zenye kuvutia na keywords zenye
kuvuta watu wanaosearch vitu mbalimabali kwenye
mitandao. Mfano kama umetengeneza blog
ya ngono yani ina picha za ngono na video za ngono basi posts zako zijae maneno kama mboo, chupi, kuma,
kutombana, na mengineyo . Ashskum si matusi. Maneno kama hayo yawekwe kwenye
mistari miwili ya kwanza nay a mwisho sehemu hizo ndizo zinasomwa sana na
search engines kama google, bing, yahoo na nyinginezo. Hivyo utakuwa sehemu
nzuri kwenye search engines hatimaye mtu
aki andika maneno kwenye search engine yeyote blog yako itaorodheshwa juu
kabisa yani page ya kwanza.
5. (Itaendelea) kuna njia nyingi za bure za kufanya
blog yako itembelewe na watu wengi kwa siku bila kujitangaza. Njoo tena kusoma
kuanzia mbinu namba tano bila
kujitangaza. Njoo tena kusoma kuanzia mbinu namba tano
nimeipenda hiyo sitatumia tena hii mbinu www.honestyqper.blogspot.com labda ungesaidia wengine wasiojua kutumia hyperlink
ReplyDeleteasante nimejifunza kiu mkuu
ReplyDeletewww.chembayastori.com
This comment has been removed by the author.
DeleteDuuu kuna maneno makali, unaweza kupata pia www.mwanamatukio.blogspot.com
ReplyDeleteDuuu kuna maneno makali, unaweza kupata pia www.mwanamatukio.blogspot.com
ReplyDeleteHakika nimejifunza kitu ndugu ambacho kitanisaidia sn hata kwenye blog yangi
ReplyDeleteEnter your comment...Hakika nimejifunza mengi sana
ReplyDeletewww.tujuzane.blogspot.com nimeipenda hii
ReplyDelete